Showing posts with label awards. Show all posts
Showing posts with label awards. Show all posts

Wednesday, September 9, 2015

Mashabiki wa Ali Kiba Watia Aibu Diamond apata nomination ya MTV Europe Awards kwa kishindo.

Msanii na hifadhi ya taifa Diamond Platinumz amepata nomination ya best African act katika tuzo za MTV Europe awards zitakazofanyika Milan Italy.
Diamond amepita bila kupingwa pamoja na Davido, Yemi Alade, na Aka uku imebakia nafasi moja ya nominee ambapo ushindani ni kati ya Casper nyovest, wiz kid, DJ Arafat, K.o na stone boy ambao mshindi atapatikana kutokana na kupata tag nyingi za mashabiki.#inominatecaspernyovest 
Wakati huo huo Katika hali ya kuhuzunisha na kustabisha mashabiki wa kiba wameamua kulilia nomination za MTV Ema kwa kuanzisha tag zao eti nomintee Kiba wakati kiba video ya chekecha haijawahi pigwa MTV

Saturday, June 13, 2015

ORODHA YA KTMA; ALLI KIBA KAMTUPILIA MBALI DIAMOND PLATNUMZ, TUZO ZA KTMA 2015

Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo za muziki Tanzania Kilimanjaro Music Awards 2015 zilizofanyika 13 June 2015 Mlinani City jijini Dar es salaam.
1. KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND
2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB
3. BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA
4. MSANII BORA CHIPUKIZI - BARAKA DA PRINCE
5. WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA KITANZANIA (WAITE) -MRISHO MPOTO FT. FELLY KANO
6. WIMBO BORA WA ZOUK/RHUMBA - NITAMPATA WAPI - DIAMOND PLATINUMZ
7. WIMBO BORA WA AFRO POP - MWANA ALI KIBA
8. VIDEO BORA YA MWANAMUZIKI YA MWAKA - MDOGOMDOGO - DIAMOND PLATINUMZ
9. MTAYARISHAJI BORA WA MWAKA BENDI - ENRICO
10. MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA BONGO FLEVA - NAHREEL
11. MTUNZI BORA WA MWAKA- HIP HOP - JOH MAKINI
12. MTUNZI BORA WA MWAKA BENDI - JOSE MARA
13. MTUNZI BORA WA MWAKA BONGO FLEVA - ALI KIBA
14. MTUNZI BORA WA MWAKA TAARAB- MZEE YUSSUF
15. MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA WA KIUME - ALI KIBA
16. MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA WA KIKE - VENESSA MDEE
17. MWIMBAJI BORA WA KIUME TAARAB - MZEE YUSSUF
18. MWIMBAJI BORA WA KIUME BONGO FLEVA - ALI KIBA
19. MWIMBAJI BORA WA KIKE TAARAB - ISHA MASHAUZI
20. MWIMBAJI BORA WA KIKE BONGO FLEVA - VANESSA MDEE
21. WIMBO BORA WA TAARAB (MAPENZI HAYANA DHAMANA)- ISHA MASHAUZI
22. WIMBO BORA WA MWAKA (MWANA)- ALI KIBA
23. WIMBO BORA WA KISWAHILI BENDI (WALEWALE) -VIJANA WA NGWASUMA
24. WIMBO BORA WA R&B (SIKSIKII)- JUX
25. RAPA BORA WA HIP HOP - KIPI SIJASIKIA ( PROF J FT. DIAMOND PLATINUMZ)
26. MSANII BORA WA HIP HOP - JOH MAKINI
27. WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI (SURA YAKO) - SAUTI SOL

Monday, June 8, 2015

AWARDS; ICE CUBE TO REUNITE N.W.A. AT BET EXPERIENCE


The world’s most dangerous group is getting back together. Ice Cube will reunite N.W.A. for a special performance at the BET Experience.
The gangsta rap icon, along with surviving members MC Ren and DJ Yella, will perform N.W.A. tracks from the group’s seminal debutStraight Outta Compton for the first time in 15 years during a concert at the Staples Center in Los Angeles on June 27.
“It’s just gonna be a great night,” Cube tellsRolling Stone. “We’re gonna be there with Snoop, Kendrick Lamar, Schoolboy Q. It’s just gonna be one of those ‘I wish I were there in L.A. nights.’ And we’re gonna rock that shit, no problem.”
The reunion precedes the Aug. 14 release ofStraight Outta Compton, the N.W.A biopic he co-produced with Dr. Dre and Eazy-E’s widow Tomica Woods-Wright.

“I’m gonna bring out some of the old favorites,” says Cube. “We’re gonna bring back some memories up in there for sure.”
However, it remains to be seen if Dr. Dre will join the reunion. “If you wish upon a star, you never know. You never know. It’s like, I hope he blesses us with his presence,” adds Cube. “But if not, I’ve been rockin’ for a long time without anybody. So whoever shows up, I’m still gonna rock. Whoever don’t show up, we still gonna rock.”
Saturday’s Staples Center concert also features performances from the West Coast’s own Snoop Dogg, Kendrick Lamar, ScHoolboy Q, Ab-Soul, and Jay Rock.